Swali: Mimi ni mwanamke niliye na miaka arubaini. Nilipobaleghe utotoni sikufunga ile miezi ya kwanza ambapo nimekuja kuifunga hivi sasa na nimefunga miezi mine. Lakini nakumbuka kuwa nilibaleghe katika mwezi wa Ramadhaan na sikuufunga. Sikumbuki nilibaleghe mwanzoni mwake, katikati yake au mwishoni mwake. Niufunge mwezi huu vipi?
Jibu: Funga mwezi mzima. Maadamu jambo lenye lina uwezekano mbalimbali ambapo unadhani kuwa uliacha mwezi mzima, baadhi yake, siku nyingi au siku chache, lililo salama zaidi na linalotaka dhimma ni kufunga mwezi mzima.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaam al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14891
- Imechapishwa: 04/06/2017
Swali: Mimi ni mwanamke niliye na miaka arubaini. Nilipobaleghe utotoni sikufunga ile miezi ya kwanza ambapo nimekuja kuifunga hivi sasa na nimefunga miezi mine. Lakini nakumbuka kuwa nilibaleghe katika mwezi wa Ramadhaan na sikuufunga. Sikumbuki nilibaleghe mwanzoni mwake, katikati yake au mwishoni mwake. Niufunge mwezi huu vipi?
Jibu: Funga mwezi mzima. Maadamu jambo lenye lina uwezekano mbalimbali ambapo unadhani kuwa uliacha mwezi mzima, baadhi yake, siku nyingi au siku chache, lililo salama zaidi na linalotaka dhimma ni kufunga mwezi mzima.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaam al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14891
Imechapishwa: 04/06/2017
https://firqatunnajia.com/hakumbuki-ni-siku-ngapi-za-ramadhaan-alizoacha-alipobaleghe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)