Swali: Kunapokimiwa swalah basi baadhi ya watu ambao wamechelewa wanakuja hali ya kukimbia na kusema:
إِنَّ اللَّهَ مَعَ الصَّابِرِينَ
“Hakika Allaah yupamoja na wale wenye kusubiri.”
Ni ipi hukumu ya kukimbia katika swalah?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mnaposikia Iqaamah basi tembeeni hali ya utulivu. Kile mtachowahi swalini. Kile kitachowapiteni kitimizeni.”
Katika upokezi wingine:
“Kikidhini.”
Huu ndio mwongozo wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16832
- Imechapishwa: 17/03/2018
Swali: Kunapokimiwa swalah basi baadhi ya watu ambao wamechelewa wanakuja hali ya kukimbia na kusema:
إِنَّ اللَّهَ مَعَ الصَّابِرِينَ
“Hakika Allaah yupamoja na wale wenye kusubiri.”
Ni ipi hukumu ya kukimbia katika swalah?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mnaposikia Iqaamah basi tembeeni hali ya utulivu. Kile mtachowahi swalini. Kile kitachowapiteni kitimizeni.”
Katika upokezi wingine:
“Kikidhini.”
Huu ndio mwongozo wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16832
Imechapishwa: 17/03/2018
https://firqatunnajia.com/hakika-allaah-yupamoja-na-wale-wenye-kusubiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)