Swali: Tokea miaka mitatu iliyopita mke wangu huzaa mwanzoni mwa mwezi wa Ramadhaan na hajafunga miezi mitatu Ramadhaan. Ni ipi kafara?
Jibu: Ni wajibu kwake kuharakisha kulipa swawm ya Ramadhaan anayodaiwa ya miaka mitatu iliyopita kama ambavyo ni wajibu vilevile kulisha kwa kila siku masikini kiwango cha nusu ya Swaa´ katika ngano, mchele au chakula kilichozoeleka kuliwa katika mji. Hilo ni kwa sababu ya kuchelewesha kwake kulipa mpaka ikamwingilia Ramadhaan nyingine ikiwa Ramadhaan nyingine hiyo alikuwa ni muweza wa kuifunga.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/224)
- Imechapishwa: 10/06/2017
Swali: Tokea miaka mitatu iliyopita mke wangu huzaa mwanzoni mwa mwezi wa Ramadhaan na hajafunga miezi mitatu Ramadhaan. Ni ipi kafara?
Jibu: Ni wajibu kwake kuharakisha kulipa swawm ya Ramadhaan anayodaiwa ya miaka mitatu iliyopita kama ambavyo ni wajibu vilevile kulisha kwa kila siku masikini kiwango cha nusu ya Swaa´ katika ngano, mchele au chakula kilichozoeleka kuliwa katika mji. Hilo ni kwa sababu ya kuchelewesha kwake kulipa mpaka ikamwingilia Ramadhaan nyingine ikiwa Ramadhaan nyingine hiyo alikuwa ni muweza wa kuifunga.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/224)
Imechapishwa: 10/06/2017
https://firqatunnajia.com/hajafunga-ramadhaan-tatu-kwa-sababu-ya-kushika-ujauzito-kila-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)