Swali: Je, Muislamu ataadhibiwa akiwa na mapenzi ya kimaumbile kwa wazazi wake makafiri au mke wake wa Ahl-ul-Kitaab?
Jibu: Haifai kumpenda kafiri hata kama itakuwa ni mama yake, baba yake au kaka yake. Amesema (Ta´ala):
لَّا تَجِدُ قَوْمًا يُؤْمِنُونَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ يُوَادُّونَ مَنْ حَادَّ اللَّـهَ وَرَسُولَهُ وَلَوْ كَانُوا آبَاءَهُمْ أَوْ أَبْنَاءَهُمْ أَوْ إِخْوَانَهُمْ أَوْ عَشِيرَتَهُمْ
“Hutokuta watu wanaomuamini Allaah na Siku ya Mwisho [kuwa] wanawapenda wale wanaopinzana na Allaah na Rasuli Wake, japo wakiwa [ni] baba zao, au watoto wao, au ndugu zao, au jamaa zao.” (48:21)
Anatakiwa kumchukia kafiri chuki ya kidini na iwe kwa ajili ya Allaah (´Azza wa Jall). Haijalishi kitu hata kama atakuwa mtu wa karibu zaidi kwake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_13.mp3
- Imechapishwa: 19/06/2018
Swali: Je, Muislamu ataadhibiwa akiwa na mapenzi ya kimaumbile kwa wazazi wake makafiri au mke wake wa Ahl-ul-Kitaab?
Jibu: Haifai kumpenda kafiri hata kama itakuwa ni mama yake, baba yake au kaka yake. Amesema (Ta´ala):
لَّا تَجِدُ قَوْمًا يُؤْمِنُونَ بِاللَّـهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ يُوَادُّونَ مَنْ حَادَّ اللَّـهَ وَرَسُولَهُ وَلَوْ كَانُوا آبَاءَهُمْ أَوْ أَبْنَاءَهُمْ أَوْ إِخْوَانَهُمْ أَوْ عَشِيرَتَهُمْ
“Hutokuta watu wanaomuamini Allaah na Siku ya Mwisho [kuwa] wanawapenda wale wanaopinzana na Allaah na Rasuli Wake, japo wakiwa [ni] baba zao, au watoto wao, au ndugu zao, au jamaa zao.” (48:21)
Anatakiwa kumchukia kafiri chuki ya kidini na iwe kwa ajili ya Allaah (´Azza wa Jall). Haijalishi kitu hata kama atakuwa mtu wa karibu zaidi kwake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_13.mp3
Imechapishwa: 19/06/2018
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kumpenda-kafiri-hata-kama-ni-mzazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)