Swali: Ni ipi eda ya mwanamke mwenye kutalikiwa na mume wake Talaka tatu?
Jibu:
وَالْمُطَلَّقَاتُ يَتَرَبَّصْنَ بِأَنفُسِهِنَّ ثَلَاثَةَ قُرُوءٍ |
“Na wanawake waliotalakiwa wangojee kwa nafsi zao (wasiolewe) quruu (twahara au hedhi) tatu.” (02:228) |
yaani hedhi tatu au twahara tatu kutokana na tofauti. Kwa hali yoyote ni lazima kupatikane mara tatu. Aayah hii imeenea, sawa kwa mwanamke mwenye kutalikiwa mara tatu au Talaka rejea. Ni jumla.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (65) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13832
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni ipi eda ya mwanamke mwenye kutalikiwa na mume wake Talaka tatu?
Jibu:
وَالْمُطَلَّقَاتُ يَتَرَبَّصْنَ بِأَنفُسِهِنَّ ثَلَاثَةَ قُرُوءٍ
“Na wanawake waliotalakiwa wangojee kwa nafsi zao (wasiolewe) quruu (twahara au hedhi) tatu.” (02:228)
yaani hedhi tatu au twahara tatu kutokana na tofauti. Kwa hali yoyote ni lazima kupatikane mara tatu. Aayah hii imeenea, sawa kwa mwanamke mwenye kutalikiwa mara tatu au Talaka rejea. Ni jumla.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (65) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13832
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/eda-ya-mwanamke-aliyeachwa-talaka-tatu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)