Swali: Mwanamke huyu alizaa na damu ya uzazi ikaendelea kutoka baada ya siku 40. Je, damu hii ni ya hedhi au damu isiyokuwa na maana? Daktari wake amemwambia kuwa ni damu ya hedhi.
Jibu: Ikiwa damu inaenda sambamba na damu ya hedhi, basi itakuwa ni hedhi. Vinginevyo itakuwa sio hedhi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (55) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16503
- Imechapishwa: 23/09/2017
Swali: Mwanamke huyu alizaa na damu ya uzazi ikaendelea kutoka baada ya siku 40. Je, damu hii ni ya hedhi au damu isiyokuwa na maana? Daktari wake amemwambia kuwa ni damu ya hedhi.
Jibu: Ikiwa damu inaenda sambamba na damu ya hedhi, basi itakuwa ni hedhi. Vinginevyo itakuwa sio hedhi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (55) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16503
Imechapishwa: 23/09/2017
https://firqatunnajia.com/damu-kuendelea-kutoka-baada-ya-siku-40/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)