Swali: Je, katika mfumo wa Salaf ni kutaja majina ya wale Ahl-ul-Bid´ah wadh-Dhwalaal ambao wanatahadharisha nao? Je, hili linakuwa kwa njia ya kudumu au inaweza kinyume na hivyo kutegemea na hali?
Jibu: Hili linategemea na manufaa. Ikiwa manufaa yanapelekea kutomlenga mtu yule basi asimlenge moja kwa moja. Ikiwa manufaa yanapelekea kumlenga kwa njia ya kwamba analingania na anaeneza Bid´ah zake katika batili, basi amtahadharishe kwa dhati yake. Akiweza kumlenga kabisa ndio bora zaidi. Leo wanaeneza magazeti na kanda ili kuwapoteza watu. Zitahadharishwe Bid´ah zao. Leo kuna walinganizi kwenye TV, magazeti na kwenginepo ambapo wana uchanganfu kwelikweli. Bora zaidi ni yeye kuwatahadharisha kwa kuwalenga. Kwani manufaa yanapelekea kufanya hivo.
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kanda: as-Sayr ´alaa Manhaj-is-Salaf http://rabee.net/ar/questions.php?cat=26&id=617
- Imechapishwa: 10/03/2018
Swali: Je, katika mfumo wa Salaf ni kutaja majina ya wale Ahl-ul-Bid´ah wadh-Dhwalaal ambao wanatahadharisha nao? Je, hili linakuwa kwa njia ya kudumu au inaweza kinyume na hivyo kutegemea na hali?
Jibu: Hili linategemea na manufaa. Ikiwa manufaa yanapelekea kutomlenga mtu yule basi asimlenge moja kwa moja. Ikiwa manufaa yanapelekea kumlenga kwa njia ya kwamba analingania na anaeneza Bid´ah zake katika batili, basi amtahadharishe kwa dhati yake. Akiweza kumlenga kabisa ndio bora zaidi. Leo wanaeneza magazeti na kanda ili kuwapoteza watu. Zitahadharishwe Bid´ah zao. Leo kuna walinganizi kwenye TV, magazeti na kwenginepo ambapo wana uchanganfu kwelikweli. Bora zaidi ni yeye kuwatahadharisha kwa kuwalenga. Kwani manufaa yanapelekea kufanya hivo.
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kanda: as-Sayr ´alaa Manhaj-is-Salaf http://rabee.net/ar/questions.php?cat=26&id=617
Imechapishwa: 10/03/2018
https://firqatunnajia.com/bora-ni-kuwatahadharisha-ahl-ul-bidah-kwa-majina-yao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)