Swali: Je, kila anayetumbukia katika Bid´ah anaitwa mzushi?
Jibu: Ni jambo linalojulikana kwamba Bid´ah ni zenye kutofautiana. Lakini kuilenga Bid´ah na kuifanyia mpaka watu wanatofautiana ndani yake. Lakini zipo Bid´ah ambazo ziko wazi na jambo lake liko wazi. Kama inavyojulikana watu wanatofautiana katika Bid´ah hizi. Kwa hiyo haisemwi kuwa Bid´ah zote zinalingana. Lakini watu wameafikiana kwamba zote ni zenye kwenda kinyume na Shari´ah, kwamba zinakwenda kinyume na mwongozo wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ijapokuwa zinatofautiana. Haisemwi kwamba zote ziko katika kiwango kimoja. Ni kama ambavyo dhambi na maasi haziko katika kiwango kimoja. Dhambi kubwakubwa haziko katika kiwango kimoja. Vivyo hivyo kuhusu Bid´ah haziko katika kiwango kimoja.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Bid´at-ul-Mawaalid wa mahabbat-in-Nabiyy http://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=36078
- Imechapishwa: 09/11/2019
Swali: Je, kila anayetumbukia katika Bid´ah anaitwa mzushi?
Jibu: Ni jambo linalojulikana kwamba Bid´ah ni zenye kutofautiana. Lakini kuilenga Bid´ah na kuifanyia mpaka watu wanatofautiana ndani yake. Lakini zipo Bid´ah ambazo ziko wazi na jambo lake liko wazi. Kama inavyojulikana watu wanatofautiana katika Bid´ah hizi. Kwa hiyo haisemwi kuwa Bid´ah zote zinalingana. Lakini watu wameafikiana kwamba zote ni zenye kwenda kinyume na Shari´ah, kwamba zinakwenda kinyume na mwongozo wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ijapokuwa zinatofautiana. Haisemwi kwamba zote ziko katika kiwango kimoja. Ni kama ambavyo dhambi na maasi haziko katika kiwango kimoja. Dhambi kubwakubwa haziko katika kiwango kimoja. Vivyo hivyo kuhusu Bid´ah haziko katika kiwango kimoja.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Bid´at-ul-Mawaalid wa mahabbat-in-Nabiyy http://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=36078
Imechapishwa: 09/11/2019
https://firqatunnajia.com/bidah-zinatofautiana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)