Swali: Ni ipi hukumu ya kuuza Qur-aan?
Jibu: Kinachotambulika kwa wanachuoni ni kusema ´kuuza msahafu` na hakusemwi kuuza Qur-aan. Ni kuuza msahafu. Kwa sababu msahafu ndani yake kuna makaratasi, uchapishaji na uandishi. Hakuna ubaya kuuza.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 17/05/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuuza Qur-aan?
Jibu: Kinachotambulika kwa wanachuoni ni kusema ´kuuza msahafu` na hakusemwi kuuza Qur-aan. Ni kuuza msahafu. Kwa sababu msahafu ndani yake kuna makaratasi, uchapishaji na uandishi. Hakuna ubaya kuuza.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 17/05/2019
https://firqatunnajia.com/biashara-ya-misahafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)