Swali: Mtu mwenye kutoka Minaa tarehe 12 kisha akataka kurudi kulala huko. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Kama amerudi hajj yake imekwisha. Inafaa kwake kurudi na akalala pamoja na marafiki zake au kama anataka kutekeleza haja yake fulani, lakini asirushe vijiwe katika siku ya tarehe 13. Kwa sababu ametoka Minaa mapema na hivyo mambo yamekwisha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 31/05/2020
Swali: Mtu mwenye kutoka Minaa tarehe 12 kisha akataka kurudi kulala huko. Je, inafaa kwake kufanya hivo?
Jibu: Kama amerudi hajj yake imekwisha. Inafaa kwake kurudi na akalala pamoja na marafiki zake au kama anataka kutekeleza haja yake fulani, lakini asirushe vijiwe katika siku ya tarehe 13. Kwa sababu ametoka Minaa mapema na hivyo mambo yamekwisha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 31/05/2020
https://firqatunnajia.com/anataka-kurudi-kulala-minaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)