Swali: Wakati mwingine niko natawadha nahisi kuwa wudhuu´ unatenguka na pia ndani ya swalah. Sijui kama ni jambo la kihakika au ni wasiwasi. Jambo hili limenifanya kukosa swalah ya mkusanyiko. Unaninasihi nini?
Jibu: Ninakunasihi uache wasiwasi. Huu ni wasiwasi. Achana nao. Ukihisi hayo mtake ulinzi Allaah kutokamana na shaytwaan aliyefukuzwa na yapuuze. Endelea na wudhuu´ wako na swalah yako.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 13/03/2017
Swali: Wakati mwingine niko natawadha nahisi kuwa wudhuu´ unatenguka na pia ndani ya swalah. Sijui kama ni jambo la kihakika au ni wasiwasi. Jambo hili limenifanya kukosa swalah ya mkusanyiko. Unaninasihi nini?
Jibu: Ninakunasihi uache wasiwasi. Huu ni wasiwasi. Achana nao. Ukihisi hayo mtake ulinzi Allaah kutokamana na shaytwaan aliyefukuzwa na yapuuze. Endelea na wudhuu´ wako na swalah yako.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%204%20-%201%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 13/03/2017
https://firqatunnajia.com/anahisi-wudhuu-kutenguka-wakati-anatawadha-na-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)