Swali: Mtu mwenye kujua haki kupitia fatwa za wanachuoni wenye kuzingatiwa kisha akaziacha na kuchukua maneno ya watu waliokurupuka juu ya fatwa. Je, anazingatiwa anawafanya waungu?
Jibu: Hapana shaka. Ikiwa anajua kuwa wako makosani na akayafanyia propaganda maneno yao kwa ajili ya lengo fulani ima kwa ajili ya tamaa ya kidunia, kuificha haki au kuwakhalifu wale wanaofuata haki, hapana shaka kwamba amewafanya ni waungu badala ya Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/2896
- Imechapishwa: 26/04/2019
Swali: Mtu mwenye kujua haki kupitia fatwa za wanachuoni wenye kuzingatiwa kisha akaziacha na kuchukua maneno ya watu waliokurupuka juu ya fatwa. Je, anazingatiwa anawafanya waungu?
Jibu: Hapana shaka. Ikiwa anajua kuwa wako makosani na akayafanyia propaganda maneno yao kwa ajili ya lengo fulani ima kwa ajili ya tamaa ya kidunia, kuificha haki au kuwakhalifu wale wanaofuata haki, hapana shaka kwamba amewafanya ni waungu badala ya Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/2896
Imechapishwa: 26/04/2019
https://firqatunnajia.com/anaacha-fatwa-za-wanachuoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)