Ametakharuji na kusoma chuo kikuu lakini bado mjinga

Swali: Mtu ambaye ametakharuji katika chuo kikuu cha Kishari´ah anaitwa kuwa ni “mwanachuoni” na ana haki ya kutafiti katika dalili na kufanya Ijtihaad?

Jibu: Kama ana elimu na uwezo, hakuna neno. Ama kusema kwamba ametakharuji peke yake haitoshi. Huenda ametakharuji na hajui chochote.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (87) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathoumaged05-03-1440h.mp3
  • Imechapishwa: 23/04/2019