Swali: Kuna mtu alimwingilia mke wake mchana wa Ramadhaan siku mbili mfululizo. Anakuwa analazimika kutoka kafara mbili juu ya siku mbili. Mtu huyu anatakiwa kuwalisha masikini 120. Je, inajuzu kwake kuwalisha masikini 60 badala ya masikini 120 kwa njia ya kwamba anampa kila mmoja kiwango cha watu wawili au ni lazima ampe kila mmoja kiwango chake na hivyo awe amewalisha masikini 120?
Jibu: Ni wajibu kwa yule aliyefanya jimaa mchana wa Ramadhaan atubu, aombe msamaha na kulipa yale masiku aliyofanya jimaa pamoja na kutoa kafara kwa kila siku moja. Kafara ni kuacha mtumwa huru. Asipoweza afunge miezi miwili mfululizo. Asipoweza alishe masikini sitini. Hakuna kipingamizi kutoa kafara mbili au zaidi kwa masikini sitini.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/326)
- Imechapishwa: 18/06/2017
Swali: Kuna mtu alimwingilia mke wake mchana wa Ramadhaan siku mbili mfululizo. Anakuwa analazimika kutoka kafara mbili juu ya siku mbili. Mtu huyu anatakiwa kuwalisha masikini 120. Je, inajuzu kwake kuwalisha masikini 60 badala ya masikini 120 kwa njia ya kwamba anampa kila mmoja kiwango cha watu wawili au ni lazima ampe kila mmoja kiwango chake na hivyo awe amewalisha masikini 120?
Jibu: Ni wajibu kwa yule aliyefanya jimaa mchana wa Ramadhaan atubu, aombe msamaha na kulipa yale masiku aliyofanya jimaa pamoja na kutoa kafara kwa kila siku moja. Kafara ni kuacha mtumwa huru. Asipoweza afunge miezi miwili mfululizo. Asipoweza alishe masikini sitini. Hakuna kipingamizi kutoa kafara mbili au zaidi kwa masikini sitini.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/326)
Imechapishwa: 18/06/2017
https://firqatunnajia.com/amemwingilia-mke-wake-siku-aliokuwa-akilipa-ramadhaan-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)