Swali 395: Kuna mtu aligombana na mwenzake msikitini kisha akaapa kwa talaka kwamba hatoswali msikitini halafu akajuta. Afanye nini?
Jibu: Talaka inahesabika kwake ikiwa amenuia talaka kutokana na Hadiyth isemayo:
“Hakika kila kitendo kinategemea nia.”
Akinuia kisha akajutia na hapo kabla alikuwa hajamtaliki talaka mbili, basi talaka inahesabika kwake. Vinginevyo aende kwenye msikiti mwingine na hana ulazima wa kuswali katika msikiti maalum miongoni mwa misikiti. Ana haki ya kwenda kwenye msikiti mwingine.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 664
- Imechapishwa: 14/12/2019
Swali 395: Kuna mtu aligombana na mwenzake msikitini kisha akaapa kwa talaka kwamba hatoswali msikitini halafu akajuta. Afanye nini?
Jibu: Talaka inahesabika kwake ikiwa amenuia talaka kutokana na Hadiyth isemayo:
“Hakika kila kitendo kinategemea nia.”
Akinuia kisha akajutia na hapo kabla alikuwa hajamtaliki talaka mbili, basi talaka inahesabika kwake. Vinginevyo aende kwenye msikiti mwingine na hana ulazima wa kuswali katika msikiti maalum miongoni mwa misikiti. Ana haki ya kwenda kwenye msikiti mwingine.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 664
Imechapishwa: 14/12/2019
https://firqatunnajia.com/ameapa-kutoswali-kwenye-msikiti-fulani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)