Swali: Nilifunga Ramadhaan na himdi zote ni Zake Allaah. Lakini nikala siku moja kwa sababu ya safari. Baada ya Ramadhaan nikaanza kufunga siku sita za Shawwaal. Baada ya kupita siku tatu ndipo nikakumbuka kuwa nadaiwa siku moja. Ni ipi hukumu? Nifanye nini?
Jibu: Kwa hali yoyote mtu akianza kufunga masiku sita ya Shawwaal huku amesahau kuwa anadaiwa, pale atapokumbuka afunge yale masiku anayodaiwa kisha akamilishe zile siku sita. Kwa sababu mpangilio hapa umeanguka kwa kusahau. Mpangilio unaanguka kwa kusahau.
Lakini ikiwa amenuia siku hii kuwa ni ya Shawwaal hawezi kuifanya ikawa ni deni lake alilolipa. Kwa sababu siku anayotakiwa kulipa ni lazima ainuie kabla ya Fajr.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: l-Liqaa´ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/939
- Imechapishwa: 08/05/2018
Swali: Nilifunga Ramadhaan na himdi zote ni Zake Allaah. Lakini nikala siku moja kwa sababu ya safari. Baada ya Ramadhaan nikaanza kufunga siku sita za Shawwaal. Baada ya kupita siku tatu ndipo nikakumbuka kuwa nadaiwa siku moja. Ni ipi hukumu? Nifanye nini?
Jibu: Kwa hali yoyote mtu akianza kufunga masiku sita ya Shawwaal huku amesahau kuwa anadaiwa, pale atapokumbuka afunge yale masiku anayodaiwa kisha akamilishe zile siku sita. Kwa sababu mpangilio hapa umeanguka kwa kusahau. Mpangilio unaanguka kwa kusahau.
Lakini ikiwa amenuia siku hii kuwa ni ya Shawwaal hawezi kuifanya ikawa ni deni lake alilolipa. Kwa sababu siku anayotakiwa kulipa ni lazima ainuie kabla ya Fajr.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: l-Liqaa´ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/939
Imechapishwa: 08/05/2018
https://firqatunnajia.com/ameanza-kufunga-shawwaal-kabla-ya-ramadhaan-kwa-kusahau/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)