Swali: Kuna mtu ambaye wakati mwingine anapoteza fahamu masaa kadhaa. Je, ni wajibu kwake kufunga?
Jibu: Akiwa ni mwenye akili na anapoteza fahamu baadhi tu ya masaa, basi ni wajibu kwake kufunga. Ni kama mfano wa yule ambaye analala baadhi ya nyakati. Kile kitendo chake cha yeye kupotelewa na fahamu baadhi ya nyakati katikati ya mchana au katikati ya usiku hakumzuilii kwake kufunga. Tunamuombea kwa Allaah amponye.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/210 )
- Imechapishwa: 24/05/2018
Swali: Kuna mtu ambaye wakati mwingine anapoteza fahamu masaa kadhaa. Je, ni wajibu kwake kufunga?
Jibu: Akiwa ni mwenye akili na anapoteza fahamu baadhi tu ya masaa, basi ni wajibu kwake kufunga. Ni kama mfano wa yule ambaye analala baadhi ya nyakati. Kile kitendo chake cha yeye kupotelewa na fahamu baadhi ya nyakati katikati ya mchana au katikati ya usiku hakumzuilii kwake kufunga. Tunamuombea kwa Allaah amponye.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (15/210 )
Imechapishwa: 24/05/2018
https://firqatunnajia.com/ambaye-wakati-fulani-anapotelewa-fahamu-ni-wajibu-kufunga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)