Swali: Je, mtu anaweza kuzipangilia alama kubwa za Qiyaamah?
Jibu: Kuna alama nne zilizo kwa mpangilio; al-Mahdiy, kisha atafuatia ad-Dajjaal, kisha kuteremka kwa ´Iysaa, halafu Ya´juuj na Ma´juuj. Ama kuhusu zilizobaki hazitokuja kwa mpangilio: moshi utaoenea ardhini, kuvunjwa kwa Ka´bah, kunyakuliwa Qur-aan kutoka kwenye misahafu na kutoka kwenye vifua. Alama za mwisho ni jua kuchomoza kutoka magharibi, mnyama atayetoka, kisha moto utaotoka upande wa Aden ambao utawafukuza watu na kuwaelekeza kwenye uwanja wa hesabu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/431/431.mp3
- Imechapishwa: 07/08/2018
Swali: Je, mtu anaweza kuzipangilia alama kubwa za Qiyaamah?
Jibu: Kuna alama nne zilizo kwa mpangilio; al-Mahdiy, kisha atafuatia ad-Dajjaal, kisha kuteremka kwa ´Iysaa, halafu Ya´juuj na Ma´juuj. Ama kuhusu zilizobaki hazitokuja kwa mpangilio: moshi utaoenea ardhini, kuvunjwa kwa Ka´bah, kunyakuliwa Qur-aan kutoka kwenye misahafu na kutoka kwenye vifua. Alama za mwisho ni jua kuchomoza kutoka magharibi, mnyama atayetoka, kisha moto utaotoka upande wa Aden ambao utawafukuza watu na kuwaelekeza kwenye uwanja wa hesabu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/431/431.mp3
Imechapishwa: 07/08/2018
https://firqatunnajia.com/alama-kubwa-za-qiyaamah-kwa-mpangilio/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)