Swaalih al-Mughaamisiy amesema:
“Kuna Taswawwuf nzuri. Mimi nasema haya wazi wazi. Mimi hakuna kitu ninachoficha. Hii ni elimu ya Kishari´ah ambayo mtu anamuabudu Allaah kwayo. Ninakariri kwamba kuna Taswawwuf nzuri.”
Swali: Ni kweli kwamba kuna Taswawwuf nzuri na mbaya.
Jibu: Hapana. Taswawwuf aina zote ni mambo yamezushwa. Ikiwa unataka haki basi ni juu yako kulazimiana na Sunnah na kufuata Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=Bp_GBVYZyqs
- Imechapishwa: 04/05/2018
Swaalih al-Mughaamisiy amesema:
“Kuna Taswawwuf nzuri. Mimi nasema haya wazi wazi. Mimi hakuna kitu ninachoficha. Hii ni elimu ya Kishari´ah ambayo mtu anamuabudu Allaah kwayo. Ninakariri kwamba kuna Taswawwuf nzuri.”
Swali: Ni kweli kwamba kuna Taswawwuf nzuri na mbaya.
Jibu: Hapana. Taswawwuf aina zote ni mambo yamezushwa. Ikiwa unataka haki basi ni juu yako kulazimiana na Sunnah na kufuata Sunnah za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=Bp_GBVYZyqs
Imechapishwa: 04/05/2018
https://firqatunnajia.com/al-mughaamisiy-na-taswawwuf/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)