Swali: Kukata masharubu ya maiti na makucha yake kunafanyika kabla ya kumuosha au baada ya kumuosha?
Jibu: Ndio, kabla ya kumuosha au baada ya kumuosha. Yote ni sawa. Bali baadhi ya wanachuoni wanapinga jambo hilo na wanaona kwamba asikatwe kitu hata kama yatakuwa marefu yaachwe hivohivo. Wanaona kuwa mambo hayo hayana dalili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2019
Swali: Kukata masharubu ya maiti na makucha yake kunafanyika kabla ya kumuosha au baada ya kumuosha?
Jibu: Ndio, kabla ya kumuosha au baada ya kumuosha. Yote ni sawa. Bali baadhi ya wanachuoni wanapinga jambo hilo na wanaona kwamba asikatwe kitu hata kama yatakuwa marefu yaachwe hivohivo. Wanaona kuwa mambo hayo hayana dalili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
Imechapishwa: 21/06/2019
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kukata-masharubu-na-makucha-ya-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)