Swali: Je, kumepokelewa Hadiyth kuhusu nusu ya Sha´baan? Je, imepokelewa ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifunga mwezi mzima?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifunga siku nyingi za Sha´baan. Bi maana alifunga masiku yake mengi.
Kuhusu kukhusisha usiku au mchana wa nusu ya Sha´baan ni jambo halina dalili. Hakukusihi dalili juu ya hilo. Hadiyth zote zilizopokelewa juu ya hilo si Swahiyh.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
- Imechapishwa: 02/12/2017
Swali: Je, kumepokelewa Hadiyth kuhusu nusu ya Sha´baan? Je, imepokelewa ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifunga mwezi mzima?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akifunga siku nyingi za Sha´baan. Bi maana alifunga masiku yake mengi.
Kuhusu kukhusisha usiku au mchana wa nusu ya Sha´baan ni jambo halina dalili. Hakukusihi dalili juu ya hilo. Hadiyth zote zilizopokelewa juu ya hilo si Swahiyh.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
Imechapishwa: 02/12/2017
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-kufunga-mchana-au-usiku-wa-tarehe-15-shabaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)