Swali: Kuna kidhibiti kipi inapokuja katika kunukuu kutoka katika vitabu vya Ahl-ul-Bid´ah? Tunaona namna ambavyo Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah na Ibn-ul-Qayyim (Rahimahumaa Allaah) wanavyonukuu kwa baadhi ya Ahl-ul-Bid´ah kama al-Ghazaaliy na wengineo.
Jibu: al-Ghazaaliy sio katika Ahl-ul-Bid´ah. Isitoshe kunukuu kutoka kwa Ahl-ul-Bid´ah haijuzu. Kwa sababu wanaweza kumsemea uongo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wanaovuliwa tu ni Khawaarij. Wanachuoni wanasema kuwa inafaa kusimulia kutoka kwa Khawaarij kwa sababu wanaharamisha uongo bali wanafikia mpaka kumkufurisha mwenye kusema uongo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (37) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%201%20-%2011%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Kuna kidhibiti kipi inapokuja katika kunukuu kutoka katika vitabu vya Ahl-ul-Bid´ah? Tunaona namna ambavyo Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah na Ibn-ul-Qayyim (Rahimahumaa Allaah) wanavyonukuu kwa baadhi ya Ahl-ul-Bid´ah kama al-Ghazaaliy na wengineo.
Jibu: al-Ghazaaliy sio katika Ahl-ul-Bid´ah. Isitoshe kunukuu kutoka kwa Ahl-ul-Bid´ah haijuzu. Kwa sababu wanaweza kumsemea uongo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wanaovuliwa tu ni Khawaarij. Wanachuoni wanasema kuwa inafaa kusimulia kutoka kwa Khawaarij kwa sababu wanaharamisha uongo bali wanafikia mpaka kumkufurisha mwenye kusema uongo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (37) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%201%20-%2011%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-al-ghazaaliy-na-kunukuu-kutoka-kwa-ahl-ul-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)