Swali: Inajuzu kwa mwanamke kusoma Qur-aan bila ya mtandio?
Jibu: Ndio, inajuzu. Kusoma Qur-aan ni moja katika matendo mazuri na matukufu. Shari´ah haikuweka masharti wala vidhibiti vyovyote. Bali amesema wakati alipokuwa akiwasifu waja Wake wema na wachaji:
الَّذِينَ يَذْكُرُونَ اللَّـهَ قِيَامًا وَقُعُودًا وَعَلَىٰ جُنُوبِهِمْ
“Wale wanaomdhukuru Allaah hali ya kusimama na hali ya kukaa na kwa kulala ubavuni mwao.”
Kujengea juu ya Aayah hii inafaa kwa yule mwenye kulala ubavu kumdhukuru Mola wake na ukumbusho bora kabisa ni Qur-aan kwa vile ni maneno ya Allaah (Tabaarak wa Ta´ala). Kwa hivyo inajuzu. Hata hivyo lililo bora ni mtu kusoma akiwa na twahara na katika hali nzuri. Hatuwalazimishi watu jambo hilo, lakini tunawabainishia kuwa ndio jambo kamilifu na bora zaidi.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kanda ”As-ilat-un-Nisaa’”
- Imechapishwa: 15/03/2019
Swali: Inajuzu kwa mwanamke kusoma Qur-aan bila ya mtandio?
Jibu: Ndio, inajuzu. Kusoma Qur-aan ni moja katika matendo mazuri na matukufu. Shari´ah haikuweka masharti wala vidhibiti vyovyote. Bali amesema wakati alipokuwa akiwasifu waja Wake wema na wachaji:
الَّذِينَ يَذْكُرُونَ اللَّـهَ قِيَامًا وَقُعُودًا وَعَلَىٰ جُنُوبِهِمْ
“Wale wanaomdhukuru Allaah hali ya kusimama na hali ya kukaa na kwa kulala ubavuni mwao.”
Kujengea juu ya Aayah hii inafaa kwa yule mwenye kulala ubavu kumdhukuru Mola wake na ukumbusho bora kabisa ni Qur-aan kwa vile ni maneno ya Allaah (Tabaarak wa Ta´ala). Kwa hivyo inajuzu. Hata hivyo lililo bora ni mtu kusoma akiwa na twahara na katika hali nzuri. Hatuwalazimishi watu jambo hilo, lakini tunawabainishia kuwa ndio jambo kamilifu na bora zaidi.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kanda ”As-ilat-un-Nisaa’”
Imechapishwa: 15/03/2019
https://firqatunnajia.com/al-albaaniy-mwanamke-kusoma-qur-aan-bila-ya-mtandio/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)