Swali: Anayekufa kwa kutetea nchi yake anazingatiwa kuwa ni shahidi? Je, anaswaliwa swalah ya jeneza?
Jibu: Mnajua kuwa Jihaad imegawanyika sehemu mbili:
1 – Jihaad ya kushambulia.
2 – Jihaad ya kujihami.
Jihaad ya kujihami inakuwa pale ambapo adui anavamia mji, basi hapo itakuwa ni wajibu kwa kila yule anayeweza kupigana Jihaad kutetea mji wake na heshima ya Waislamu. Anakuwa anapigana Jihaad katika njia ya Allaah (´Azza wa Jall). Katika hali hii akiuawa anakuwa ni shahidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-29.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Jibu: Mnajua kuwa Jihaad imegawanyika sehemu mbili:
1 – Jihaad ya kushambulia.
2 – Jihaad ya kujihami.
Jihaad ya kujihami inakuwa pale ambapo adui anavamia mji, basi hapo itakuwa ni wajibu kwa kila yule anayeweza kupigana Jihaad kutetea mji wake na heshima ya Waislamu. Anakuwa anapigana Jihaad katika njia ya Allaah (´Azza wa Jall). Katika hali hii akiuawa anakuwa ni shahidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-10-29.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
http://firqatunnajia.com/aina-mbili-za-jihaad/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)