Swali: Katika nchi yetu kuna desturi, kama kwa makafiri pia, watu hawali kichinjwa isipokuwa kilichochinjwa na muislamu. Mtu huyu muislamu anachukua kutoka kwao kiwango fulani cha pesa. Je, kitendo hichi kinafaa?
Jibu: Kitu cha kwanza kitendo chao kwamba hawali isipokuwa tu anapochinja muislamu ni kosa. Kwa sababu Allaah ametuhalalishia vile vinavyochinjwa na mayahudi na wakristo. Amesema (Ta´ala):
وَطَعَامُ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حِلٌّ لَّكُمْ وَطَعَامُكُمْ حِلٌّ لَّهُمْ
“… na chakula cha wale Ahl-ul-Kitaab ni halali kwenu.”[1]
Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Chakula.”
Bi maana vichinjwa vyao.
Kuna watu aina tatu ambao ni halali vichinjwa vyao:
1- Muislamu.
2- Myahudi.
3- Mkristo.
Muislamu akichinja kichinjwa na akaomba malipo juu yake, ni mamoja kabla au baada ya kuchinja, hakuna ubaya. Kwa sababu hii ni kazi ya halali. Kuchukua malipo juu ya kazi ya halali ni jambo la halali.
[1] 05:05
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (94) http://binothaimeen.net/content/3875
- Imechapishwa: 15/01/2020
Swali: Katika nchi yetu kuna desturi, kama kwa makafiri pia, watu hawali kichinjwa isipokuwa kilichochinjwa na muislamu. Mtu huyu muislamu anachukua kutoka kwao kiwango fulani cha pesa. Je, kitendo hichi kinafaa?
Jibu: Kitu cha kwanza kitendo chao kwamba hawali isipokuwa tu anapochinja muislamu ni kosa. Kwa sababu Allaah ametuhalalishia vile vinavyochinjwa na mayahudi na wakristo. Amesema (Ta´ala):
وَطَعَامُ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حِلٌّ لَّكُمْ وَطَعَامُكُمْ حِلٌّ لَّهُمْ
“… na chakula cha wale Ahl-ul-Kitaab ni halali kwenu.”[1]
Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Chakula.”
Bi maana vichinjwa vyao.
Kuna watu aina tatu ambao ni halali vichinjwa vyao:
1- Muislamu.
2- Myahudi.
3- Mkristo.
Muislamu akichinja kichinjwa na akaomba malipo juu yake, ni mamoja kabla au baada ya kuchinja, hakuna ubaya. Kwa sababu hii ni kazi ya halali. Kuchukua malipo juu ya kazi ya halali ni jambo la halali.
[1] 05:05
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Liqaa’ al-Baab al-Maftuuh (94) http://binothaimeen.net/content/3875
Imechapishwa: 15/01/2020
https://firqatunnajia.com/ada-iliyoenea-katika-miji-mingi-ya-waislamu-kuogopa-kula-vichinjwa-vya-ahl-ul-kitaab/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)