95. Je, inafaa kumzika mwanamke na mwanamme ndani ya kaburi moja?

Swali 95: Je, inafaa kumzika mwanamke na mwanamme ndani ya kaburi moja[1]?

Jibu: Hapana neno kufanya hivo haja ikipelekea kufanya hivo idadi kubwa ya waliokufa kutokana na mauaji au tauni.

[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/212).

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 66
  • Imechapishwa: 07/01/2022