88. Kinga dhidi ya ad-Dajjaal

  Download

“Yeyote mwenye kuhifadhi Aayah kumi za mwanzoni wa Suurah “al-Kahf” atalindwa kutokamana na ad-Dajjaal.”[1]

Pia inatakiwa kuomba kinga kwa Allaah kutokamana na fitina zake punde tu baada ya Tashahhud ya mwisho katika kila swalah[2].

[1] Muslim (01/555). Kuna upokezi mwingine unaosema mwishoni mwa “al-Kahf” (01/556).

[2] Tazama Hadiyth nambari. (55) na Hadiyth (56) ukurasa wa 41 kutoka katika kitabu hiki.

  • Mhusika: Shaykh Sa´iyd bin ´Aliy bin Wahf al-Qahtwaaniy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Huswn-ul-Muslim
  • Imechapishwa: 03/05/2020