Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Hijrah ni kutoka katika mji wa kikafiri na kwenda katika mji wa Kiislamu.
MAELEZO
Hijrah kilugha maana yake ni “kukiacha kitu”. Ama maana yake katika Shari´ah ni kama alivyosema Shaykh:
“Hijrah ni kutoka katika mji wa kikafiri na kwenda katika mji wa Kiislamu.”
Mji wa kikafiri ni ule ambao kunatekelezwa ndani yake nembo za kikafiri na hakutekelezwi nembo za Kiislamu kama mfano wa adhaana, swalah za mkusanyiko, sikukuu na ijumaa kwa njia ya jumla na iliyoenea. Tumesema kwa njia ya jumla na iliyoenea ili zitoke zile nembo za Kiislamu zinazofanywa kwa njia iliyofupika katika nchi za kikafiri zilizo na waislamu wachache. Nchi hizi hazizingatiwi kuwa ni za Kiislamu kwa sababu tu ya zile nembo za Kiislamu wanazotekeleza. Ama mji wa Kiislamu ni ule mji ambao kunatekelezwa nembo hizi za Kiislamu kwa njia ya jumla na iliyoenea.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 129-130
- Imechapishwa: 03/06/2020
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Hijrah ni kutoka katika mji wa kikafiri na kwenda katika mji wa Kiislamu.
MAELEZO
Hijrah kilugha maana yake ni “kukiacha kitu”. Ama maana yake katika Shari´ah ni kama alivyosema Shaykh:
“Hijrah ni kutoka katika mji wa kikafiri na kwenda katika mji wa Kiislamu.”
Mji wa kikafiri ni ule ambao kunatekelezwa ndani yake nembo za kikafiri na hakutekelezwi nembo za Kiislamu kama mfano wa adhaana, swalah za mkusanyiko, sikukuu na ijumaa kwa njia ya jumla na iliyoenea. Tumesema kwa njia ya jumla na iliyoenea ili zitoke zile nembo za Kiislamu zinazofanywa kwa njia iliyofupika katika nchi za kikafiri zilizo na waislamu wachache. Nchi hizi hazizingatiwi kuwa ni za Kiislamu kwa sababu tu ya zile nembo za Kiislamu wanazotekeleza. Ama mji wa Kiislamu ni ule mji ambao kunatekelezwa nembo hizi za Kiislamu kwa njia ya jumla na iliyoenea.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Thalaathat-il-Usuwl, uk. 129-130
Imechapishwa: 03/06/2020
https://firqatunnajia.com/72-hijrah-ni-kutoka-katika-mji-wa-kikafiri-na-kwenda-wa-kiislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)