Swali 332: Ni kipi ukijuacho kuhusu Hadiyth ambayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah amlaani mwanamke mwenye kunyanyua sauti yake japokuwa ni kwa kumtaja Allaah”?
Jibu: Hadiyth ambayo haikuthibiti. Mola (´Azza wa Jall) amesema katika kitabu Chake kitukufu:
وَقُلْنَ قَوْلًا مَّعْرُوفًا
“Semeni kauli inayokubalika.” (33:32)
فَلَا تَخْضَعْنَ بِالْقَوْلِ فَيَطْمَعَ الَّذِي فِي قَلْبِهِ مَرَضٌ
”Msilegeze kauli asije akaingiwa tamaa ambaye moyoni mwake mna maradhi.” (33:32)
Lau mwanamke atasema “Subhnaan Allaah”, “Allaahu Akbar” na akatamja Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) hakuna neno juu yake – Allaah akitaka.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 573
- Imechapishwa: 15/12/2019
Swali 332: Ni kipi ukijuacho kuhusu Hadiyth ambayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah amlaani mwanamke mwenye kunyanyua sauti yake japokuwa ni kwa kumtaja Allaah”?
Jibu: Hadiyth ambayo haikuthibiti. Mola (´Azza wa Jall) amesema katika kitabu Chake kitukufu:
وَقُلْنَ قَوْلًا مَّعْرُوفًا
“Semeni kauli inayokubalika.” (33:32)
فَلَا تَخْضَعْنَ بِالْقَوْلِ فَيَطْمَعَ الَّذِي فِي قَلْبِهِ مَرَضٌ
”Msilegeze kauli asije akaingiwa tamaa ambaye moyoni mwake mna maradhi.” (33:32)
Lau mwanamke atasema “Subhnaan Allaah”, “Allaahu Akbar” na akatamja Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) hakuna neno juu yake – Allaah akitaka.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 573
Imechapishwa: 15/12/2019
https://firqatunnajia.com/64005-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)