Allaah (Ta´ala) ametaja makundi matatu katika Suurah “al-Faatihah”:
1 – Walioneemeshwa.
2 – Walioghadhibikiwa.
3 – Waliopotea.
Kwa hivyo wewe unamwomba Allaah akuongoze njia ya wale walioneemeshwa. Nao ni wale walioneemeshwa kwa elimu na matendo. Sambamba na hilo unamwomba Allaah akulinde na njia ya wale walioghadhibikiwa. Nao ni wale wanaoitambua haki na wasiitendee kazi. Mfano wa mayahudi na watu mfano wao. Aidha akulinde na njia ya wapotofu. Nao ni wale wanaomwabudu Allaah juu ya ujinga na upotofu. Kama mfano wa manaswara na watu mfano wao.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 83
- Imechapishwa: 21/06/2022
Allaah (Ta´ala) ametaja makundi matatu katika Suurah “al-Faatihah”:
1 – Walioneemeshwa.
2 – Walioghadhibikiwa.
3 – Waliopotea.
Kwa hivyo wewe unamwomba Allaah akuongoze njia ya wale walioneemeshwa. Nao ni wale walioneemeshwa kwa elimu na matendo. Sambamba na hilo unamwomba Allaah akulinde na njia ya wale walioghadhibikiwa. Nao ni wale wanaoitambua haki na wasiitendee kazi. Mfano wa mayahudi na watu mfano wao. Aidha akulinde na njia ya wapotofu. Nao ni wale wanaomwabudu Allaah juu ya ujinga na upotofu. Kama mfano wa manaswara na watu mfano wao.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 83
Imechapishwa: 21/06/2022
https://firqatunnajia.com/50-makundi-matatu-ndani-ya-al-faatihah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)