Hakumtii uzito kuzihifadhi mbingu wala ardhi. Anazihifadhi na kuzibeba kutokana na uwezo Wake:
إِنَّ ذَٰلِكَ عَلَى اللَّـهِ يَسِيرٌ
“Hakika hayo kwa Allaah ni mepesi.”[1]
Yeye ndiye ambaye anazizuia mbingu na ardhi kutokana na uwezo Wake. Hakumkalifishi chochote. Kwake hakuna zito. Hakumchoshi kuvihifadhi viwili hivyo.
[1] 35:11
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Bayaan-ul-Ma´aaniy fiy Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy, uk. 35
- Imechapishwa: 27/07/2021
Hakumtii uzito kuzihifadhi mbingu wala ardhi. Anazihifadhi na kuzibeba kutokana na uwezo Wake:
إِنَّ ذَٰلِكَ عَلَى اللَّـهِ يَسِيرٌ
“Hakika hayo kwa Allaah ni mepesi.”[1]
Yeye ndiye ambaye anazizuia mbingu na ardhi kutokana na uwezo Wake. Hakumkalifishi chochote. Kwake hakuna zito. Hakumchoshi kuvihifadhi viwili hivyo.
[1] 35:11
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Bayaan-ul-Ma´aaniy fiy Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy, uk. 35
Imechapishwa: 27/07/2021
https://firqatunnajia.com/42-hakuna-chochote-kinachomtia-allaah-uzito/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)