[5] Sababu iliyomfanya (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutoendelea kuswali na wao mkusanyiko mwezi uliobaki, ilikuwa ni kuchelea swalah za nyusiku zisije kufaradhishwa kwao katika Ramadhaan. Hiki ni kitu wasingekiweza, kama ilivyotajwa katika Hadiyth ya ´Aaishah katika “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy na Muslim na vyenginevyo[1]. Wasiwasi huu uliondoka kwa kufa kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baada ya Allaah kukamilisha Shari´ah na kwa ajili hiyo mtu alikuwa anaweza kurudi kuswali nyusiku za Ramadhaan kwa mkusanyiko. Hukumu ya asili ikawa imebaki, ambayo ni kuswali kwa mkusanyiko, na kwa ajili hiyo ndio maana ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) akaihuisha, kama ilivyotajwa katika “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy na vyenginevyo[2].
[1] Tazama “at-Taraawiyh”, uk. 12-14.
[2] Tazama takhriyj ya Hadiyth hii na maneno ya Ibn ´Abdil-Barr na wengineo juu yake katika marejeo yaliyotangulia, uk. 49-52.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qiyaam Ramadhwaan, uk. 21
- Imechapishwa: 07/05/2019
[5] Sababu iliyomfanya (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kutoendelea kuswali na wao mkusanyiko mwezi uliobaki, ilikuwa ni kuchelea swalah za nyusiku zisije kufaradhishwa kwao katika Ramadhaan. Hiki ni kitu wasingekiweza, kama ilivyotajwa katika Hadiyth ya ´Aaishah katika “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy na Muslim na vyenginevyo[1]. Wasiwasi huu uliondoka kwa kufa kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baada ya Allaah kukamilisha Shari´ah na kwa ajili hiyo mtu alikuwa anaweza kurudi kuswali nyusiku za Ramadhaan kwa mkusanyiko. Hukumu ya asili ikawa imebaki, ambayo ni kuswali kwa mkusanyiko, na kwa ajili hiyo ndio maana ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) akaihuisha, kama ilivyotajwa katika “as-Swahiyh” ya al-Bukhaariy na vyenginevyo[2].
[1] Tazama “at-Taraawiyh”, uk. 12-14.
[2] Tazama takhriyj ya Hadiyth hii na maneno ya Ibn ´Abdil-Barr na wengineo juu yake katika marejeo yaliyotangulia, uk. 49-52.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qiyaam Ramadhwaan, uk. 21
Imechapishwa: 07/05/2019
https://firqatunnajia.com/4-sababu-ya-mtume-swalla-allaahu-alayhi-wa-sallam-kutoendelea-kuswali-mkusanyiko/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)