39- ´Abdullaah bin ´Abdil-Jabbaar ametuhadithia: Muhammad bin Ahmad bin Mahbuub ametuhadithia: Abuu ´Iysaa ametuhadithia: ´Abd bin Humayd ametuhadithia: Muhammad bin Bishr al-´Abdiy na Ya´laa bin ´Ubayd wametuhadithia, kutoka kwa Hajjaaj bin Diynaar, kutoka kwa Abuu Ghaalib (Hazawwur al-Qurashiy kutoka Baswrah, pia alikuwa akijulikana kama mwanafunzi wa Ba´halah), kutoka kwa Abuu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna watu waliopotea baada ya uongofu waliyokuwemo isipokuwa baada ya kuanza kuleta mijadala.”
Kisha Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasoma Aayah ifuatayo:
مَا ضَرَبُوهُ لَكَ إِلَّا جَدَلًا ۚ بَلْ هُمْ قَوْمٌ خَصِمُونَ
”Hawakukupigia mfano huo isipokuwa tu kutaka kubisha. Bali wao ni watu makhasimu.” [1][2]
Abuu Iysaa amesema:
“Hadiyth hii ni Swahiyh Swahiyh[3].”
Mwisho!
[1] 43:58
[2] at-Tirmidhiy (3253) na Ibn Maajah (48). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (141).
[3] ´Allaamah ´Aliy Naaswir al-Faqiyhiy amesema:
“Mchapishaji wa kitabu amekariri neno mara mbili. Kuna uwezekano inatakiwa iwe nzuri na Swahiyh.” (al-Arba´uun fiy Dalaa’il-it-Tawhiyd, uk. 92)
- Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 78
- Imechapishwa: 15/02/2017
39- ´Abdullaah bin ´Abdil-Jabbaar ametuhadithia: Muhammad bin Ahmad bin Mahbuub ametuhadithia: Abuu ´Iysaa ametuhadithia: ´Abd bin Humayd ametuhadithia: Muhammad bin Bishr al-´Abdiy na Ya´laa bin ´Ubayd wametuhadithia, kutoka kwa Hajjaaj bin Diynaar, kutoka kwa Abuu Ghaalib (Hazawwur al-Qurashiy kutoka Baswrah, pia alikuwa akijulikana kama mwanafunzi wa Ba´halah), kutoka kwa Abuu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna watu waliopotea baada ya uongofu waliyokuwemo isipokuwa baada ya kuanza kuleta mijadala.”
Kisha Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasoma Aayah ifuatayo:
مَا ضَرَبُوهُ لَكَ إِلَّا جَدَلًا ۚ بَلْ هُمْ قَوْمٌ خَصِمُونَ
”Hawakukupigia mfano huo isipokuwa tu kutaka kubisha. Bali wao ni watu makhasimu.” [1][2]
Abuu Iysaa amesema:
“Hadiyth hii ni Swahiyh Swahiyh[3].”
Mwisho!
[1] 43:58
[2] at-Tirmidhiy (3253) na Ibn Maajah (48). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb” (141).
[3] ´Allaamah ´Aliy Naaswir al-Faqiyhiy amesema:
“Mchapishaji wa kitabu amekariri neno mara mbili. Kuna uwezekano inatakiwa iwe nzuri na Swahiyh.” (al-Arba´uun fiy Dalaa’il-it-Tawhiyd, uk. 92)
Mhusika: Imaam Abu Ismaa´iyl ´Abdullaah bin Muhammad al-Answaariy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Arba´uun fiy Dalaa-il-it-Tawhiyd, uk. 78
Imechapishwa: 15/02/2017
https://firqatunnajia.com/39-makatazo-ya-kubishana-juu-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)