Swali 33: Je, inafaa kuzungumza kipindi ambapo imamu amenyamaza kati ya Khutbah mbili katika swalah ya ijumaa? Je, inafaa kuashiria kidole cha shahaadah kwenye mdomo bila kuzungumza kwa ajili ya kumzindua mtu asizungumze wakati wa Khutbah[1]?
Jibu: Inafaa kuzungumza kipindi ambapo imamu amenyamaza kati ya Khutbah mbili haja ikipelekea kufanya hivo. Hapana neno kumwashiria anayeongea na huku imamu anatoa Khutbah kwamba anyamaze. Ni kama ambavo inafaa kuashiria ndani ya swalah haja ikipelekea kufanya hivo.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/337).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 72-73
- Imechapishwa: 03/12/2021
Swali 33: Je, inafaa kuzungumza kipindi ambapo imamu amenyamaza kati ya Khutbah mbili katika swalah ya ijumaa? Je, inafaa kuashiria kidole cha shahaadah kwenye mdomo bila kuzungumza kwa ajili ya kumzindua mtu asizungumze wakati wa Khutbah[1]?
Jibu: Inafaa kuzungumza kipindi ambapo imamu amenyamaza kati ya Khutbah mbili haja ikipelekea kufanya hivo. Hapana neno kumwashiria anayeongea na huku imamu anatoa Khutbah kwamba anyamaze. Ni kama ambavo inafaa kuashiria ndani ya swalah haja ikipelekea kufanya hivo.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/337).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 72-73
Imechapishwa: 03/12/2021
https://firqatunnajia.com/33-kuzungumza-baina-ya-khutbah-mbili-za-ijumaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)