Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah juu ya watu nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hawachupi mipaka, kama wanavofanya Raafidhwah, na wala hawawanasibishii uadui, kama wanavofanya Nawaaswib. Wako kati na kati baina ya pande zote mbili. Wanatambua haki zao kwa sababu ya ule ukaribu wao na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini hawazivuki nafasi zao.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Manhaj Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah fiy-´Aqiydah wal-´Amal, uk. 38
  • Imechapishwa: 21/08/2019