7- Kufunga mwezi wa Allaah Muharram. Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swawm bora baada ya Ramadhaan ni mwezi wa Allaah Muharram. Na swalah bora baada ya faradhi ni swalah ya usiku.”[1]
8- Kufunga siku tisa za Dhul-Hijjah. Siku hizi zinaanza tarehe moja ya Dhul-Hijjah na inamalizika siku ya tisa ambayo ni siku ya ´Arafah. Hayo ni kutokana na kuenea kwa Hadiyth zilizopokelewa juu ya fadhilah za matendo ndani yake. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakuna masiku ambayo matendo mema yanapendwa zaidi na Allaah kama siku hizi kumi.”[2]
Funga pia ni katika matendo mema.
[1] al-Bukhaariy (1976).
[2] Muslim (1163).
- Mhusika: Nukhbatin minal-´Ulamaa´
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fiqh-ul-Muyassar, uk. 163
- Imechapishwa: 01/05/2020
7- Kufunga mwezi wa Allaah Muharram. Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swawm bora baada ya Ramadhaan ni mwezi wa Allaah Muharram. Na swalah bora baada ya faradhi ni swalah ya usiku.”[1]
8- Kufunga siku tisa za Dhul-Hijjah. Siku hizi zinaanza tarehe moja ya Dhul-Hijjah na inamalizika siku ya tisa ambayo ni siku ya ´Arafah. Hayo ni kutokana na kuenea kwa Hadiyth zilizopokelewa juu ya fadhilah za matendo ndani yake. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakuna masiku ambayo matendo mema yanapendwa zaidi na Allaah kama siku hizi kumi.”[2]
Funga pia ni katika matendo mema.
[1] al-Bukhaariy (1976).
[2] Muslim (1163).
Mhusika: Nukhbatin minal-´Ulamaa´
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fiqh-ul-Muyassar, uk. 163
Imechapishwa: 01/05/2020
https://firqatunnajia.com/24-swawm-zilizopendekezwa-iii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)