192 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nisikujuzeni juu ya ambacho Allaah hufuta makosa na akapandisha kwacho ngazi?” Wakasema: “Ndio, ee Mtume wa Allaah.” Akasema: “Kueneza maji vizuri katika kipindi kizito, hatua nyingi kwenda msikitini na kusubiri swalah moja baada ya swalah nyingine. Hiyo ndio kuchunga mipaka ya nchi, hiyo ndio kuchunga mipaka ya nchi, hiyo ndio kuchunga mipaka ya nchi.”[1]
Ameipokea Maalik, Muslim, at-Tirmidhiy, an-Nasaa’iy na Ibn Maajah kwa maana kama hiyo.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/195-196)
- Imechapishwa: 15/04/2021
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
192 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nisikujuzeni juu ya ambacho Allaah hufuta makosa na akapandisha kwacho ngazi?” Wakasema: “Ndio, ee Mtume wa Allaah.” Akasema: “Kueneza maji vizuri katika kipindi kizito, hatua nyingi kwenda msikitini na kusubiri swalah moja baada ya swalah nyingine. Hiyo ndio kuchunga mipaka ya nchi, hiyo ndio kuchunga mipaka ya nchi, hiyo ndio kuchunga mipaka ya nchi.”[1]
Ameipokea Maalik, Muslim, at-Tirmidhiy, an-Nasaa’iy na Ibn Maajah kwa maana kama hiyo.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/195-196)
Imechapishwa: 15/04/2021
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/17-hadiyth-nisikujuzeni-juu-ya-ambacho/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)