Swali 157: Ni ipi hukumu ya maneno yao wakati wa tanzia:
“Ameenda katika mahali pake pa mwisho pa kupumzikia.”[1]?
Jibu: Sitambui ubaya wa kusema hivo. Kwa sababu ni mahali pake pa mwisho kwa nisba ya ulimwenguni. Ni neno la watu wasiokuwa na elimu. Ukweli wa mambo ni kwamba pahali pa mwisho ni Pepo ambayo ni kwa ajili ya wenye kumcha Allaah na Moto kwa ajili ya makafiri.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/408-409).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 116
- Imechapishwa: 22/01/2022
Swali 157: Ni ipi hukumu ya maneno yao wakati wa tanzia:
“Ameenda katika mahali pake pa mwisho pa kupumzikia.”[1]?
Jibu: Sitambui ubaya wa kusema hivo. Kwa sababu ni mahali pake pa mwisho kwa nisba ya ulimwenguni. Ni neno la watu wasiokuwa na elimu. Ukweli wa mambo ni kwamba pahali pa mwisho ni Pepo ambayo ni kwa ajili ya wenye kumcha Allaah na Moto kwa ajili ya makafiri.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/408-409).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 116
Imechapishwa: 22/01/2022
https://firqatunnajia.com/157-mahali-pa-mwisho-sio-kaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)