13- Imaam na Faqiyh Najm-ud-Diyn Abul-´Abbaas Ahmad bin Muhammad bin Khalaf aliniandikia:
“Nimemuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) usingizini ambapo nikasema: “Ee Mtume wa Allaah! Nataka kukuuliza kitu.” Akasema: “Kipi?” Akasema: “Imekuja katika Qur-aan na Hadiyth Swahiyh ya kwamba Allaah yuko juu ya mbingu, lakini hata hivyo kuna watu wengi wanaopinga hilo.” Akasema: “Ni nani anayepinga? Allaah yuko juu ya mbingu.”
- Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 86
- Imechapishwa: 02/06/2018
13- Imaam na Faqiyh Najm-ud-Diyn Abul-´Abbaas Ahmad bin Muhammad bin Khalaf aliniandikia:
“Nimemuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) usingizini ambapo nikasema: “Ee Mtume wa Allaah! Nataka kukuuliza kitu.” Akasema: “Kipi?” Akasema: “Imekuja katika Qur-aan na Hadiyth Swahiyh ya kwamba Allaah yuko juu ya mbingu, lakini hata hivyo kuna watu wengi wanaopinga hilo.” Akasema: “Ni nani anayepinga? Allaah yuko juu ya mbingu.”
Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 86
Imechapishwa: 02/06/2018
https://firqatunnajia.com/15-dalili-ya-kumi-na-tatu-kutoka-katika-sunnah-kwamba-allaah-yuko-juu-ya-viumbe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)