Swali 144: Baadhi ya familia ya maiti wanakaa siku tatu. Ni ipi hukumu ya hilo[1]?
Jibu: Wakikaa ili watu waweze kuwapa mkono wa pole hakuna vibaya – Allaah akitaka – ili wasiwachoshe watu. Lakini wafanye hivo pasi na kuwatengenezea watu chakula.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/382).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 104
- Imechapishwa: 22/01/2022
Swali 144: Baadhi ya familia ya maiti wanakaa siku tatu. Ni ipi hukumu ya hilo[1]?
Jibu: Wakikaa ili watu waweze kuwapa mkono wa pole hakuna vibaya – Allaah akitaka – ili wasiwachoshe watu. Lakini wafanye hivo pasi na kuwatengenezea watu chakula.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/382).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 104
Imechapishwa: 22/01/2022
https://firqatunnajia.com/144-ibn-baaz-kuhusu-kukaa-siku-tatu-nyumbani-kwa-mfiwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)