Swali 142: Je, kuna masiku yaliowekewa kikomo kwa ajili ya kutoa rambirambi? Kwa sababu inasemekana kwamba ni siku tatu peke yake[1].
Jibu: Hakuna siku zilizowekewa mpaka kwa ajili ya kutoa mkono wa pole. Bali imesuniwa kuanzia pale inapotolewa roho kabla ya kumswalia maiti na baada yake. Mwisho wake hauna kikomo katika Shari´ah takasifu. Ni mamoja hayo yamefanyika usiku au mchana. Ni mamoja hayo yamefanyika katika nyumba, barabara, msikitini, makaburini au maeneo mengine.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/379).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 102-103
- Imechapishwa: 21/01/2022
Swali 142: Je, kuna masiku yaliowekewa kikomo kwa ajili ya kutoa rambirambi? Kwa sababu inasemekana kwamba ni siku tatu peke yake[1].
Jibu: Hakuna siku zilizowekewa mpaka kwa ajili ya kutoa mkono wa pole. Bali imesuniwa kuanzia pale inapotolewa roho kabla ya kumswalia maiti na baada yake. Mwisho wake hauna kikomo katika Shari´ah takasifu. Ni mamoja hayo yamefanyika usiku au mchana. Ni mamoja hayo yamefanyika katika nyumba, barabara, msikitini, makaburini au maeneo mengine.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/379).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 102-103
Imechapishwa: 21/01/2022
https://firqatunnajia.com/142-rambirambi-hazikuwekewa-kikomo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)