Swali 136: Ni yepi maoni yako juu ya mtu ambaye anaketi nyumbani kwa ajili ya kuwapokea wanaokuja kutoa pole pamoja na kuzingatia kwamba wengi katika wanaokuja kutoa pole hawawezi kufanya hivo isipokuwa nyumbani[1]?
Jibu: Sijui ubaya wowote kwa haki ya wale waliofikwa na msiba kwa kufariki kwa jamaa zao; mke wake na wengineo kuwapokea wanaokuja kutoa rambirambi nyumbani kwake katika wakati ambao ni wenye kufaa. Kutoa pole ni Sunnah. Kuwapokea wanaokuja kutoa pole ni miongoni mwa mambo yanayowasaidia kutekeleza Sunnah. Akiwakirimu kwa kahawa, chai au manukato yote hayo ni mazuri.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/373).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 99
- Imechapishwa: 19/01/2022
Swali 136: Ni yepi maoni yako juu ya mtu ambaye anaketi nyumbani kwa ajili ya kuwapokea wanaokuja kutoa pole pamoja na kuzingatia kwamba wengi katika wanaokuja kutoa pole hawawezi kufanya hivo isipokuwa nyumbani[1]?
Jibu: Sijui ubaya wowote kwa haki ya wale waliofikwa na msiba kwa kufariki kwa jamaa zao; mke wake na wengineo kuwapokea wanaokuja kutoa rambirambi nyumbani kwake katika wakati ambao ni wenye kufaa. Kutoa pole ni Sunnah. Kuwapokea wanaokuja kutoa pole ni miongoni mwa mambo yanayowasaidia kutekeleza Sunnah. Akiwakirimu kwa kahawa, chai au manukato yote hayo ni mazuri.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/373).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 99
Imechapishwa: 19/01/2022
https://firqatunnajia.com/136-kuwapokea-wanaokuja-kutoa-pole/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)