Swali 133: Ni ipi hukumu ya kufanyia uchunguzi wafu ambao kuna mashaka juu ya kufa kwao[1]?
Jibu: Hapana neno ikiwa ni kutokana na sababu inayokubalika katika Shari´ah.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/367).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 96
- Imechapishwa: 17/01/2022