1104- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayesimama usiku wa makadirio kwa imani na kwa matarajio, basi atasamehewa yale madhambi yake yaliyotangulia. Yule atakayefunga Ramadhaan kwa imani na kwa matarajio, basi atasamehewa yale madhambi yake yaliyotangulia.”[1]
Katika upokezi wa Muslim imekuja:
“Atakayesimama usiku wa makadirio na akauafiki – na nadhani amesema “kwa imani na kwa matarajio” – basi atasamehewa yale madhambi yake yaliyotangulia.”
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/587)
- Imechapishwa: 21/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1104- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza ya kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yule atakayesimama usiku wa makadirio kwa imani na kwa matarajio, basi atasamehewa yale madhambi yake yaliyotangulia. Yule atakayefunga Ramadhaan kwa imani na kwa matarajio, basi atasamehewa yale madhambi yake yaliyotangulia.”[1]
Katika upokezi wa Muslim imekuja:
“Atakayesimama usiku wa makadirio na akauafiki – na nadhani amesema “kwa imani na kwa matarajio” – basi atasamehewa yale madhambi yake yaliyotangulia.”
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/587)
Imechapishwa: 21/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/13-hadiyth-yule-atakayesimama-usiku-wa-makadirio-kwa-imani-na-kwa-matarajio/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)