Bid´ah za kisasa ni nyingi kwa sababu ya zama kwenda zaidi, uchache wa elimu, walinganizi wengi wanaolingania katika Bid´ah na mambo yenye kwenda kinyume, uharaka wa kujifananisha na makafiri katika desturi na mila zao. Hayo yanathibitisha yale ambayo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Hakika mtafuata njia za wale waliokuwa kabla yenu.”[1]
Miongoni mwa Bid´ah hizo ni hizi zifuatazo:
1- Kusherehekea mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
2- Kufanya Tabarruk kwa maeneo, athari, wafu na mfano wake.
3- Bid´ah katika uwanja wa ´ibaadah na kujikurubisha kwa Allaah.
[1] Ahmad (21947) na tamko ni lake na at-Tirmidhiy (2185).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 191-192
- Imechapishwa: 09/07/2020
Bid´ah za kisasa ni nyingi kwa sababu ya zama kwenda zaidi, uchache wa elimu, walinganizi wengi wanaolingania katika Bid´ah na mambo yenye kwenda kinyume, uharaka wa kujifananisha na makafiri katika desturi na mila zao. Hayo yanathibitisha yale ambayo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Hakika mtafuata njia za wale waliokuwa kabla yenu.”[1]
Miongoni mwa Bid´ah hizo ni hizi zifuatazo:
1- Kusherehekea mazazi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
2- Kufanya Tabarruk kwa maeneo, athari, wafu na mfano wake.
3- Bid´ah katika uwanja wa ´ibaadah na kujikurubisha kwa Allaah.
[1] Ahmad (21947) na tamko ni lake na at-Tirmidhiy (2185).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ´Aqiydat-ut-Tawhiyd, uk. 191-192
Imechapishwa: 09/07/2020
https://firqatunnajia.com/100-sura-ya-nne-kuzungumzia-mifano-ya-bidah-za-kisasa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)