10- Kuyaweka mambo pasipokuwa mahali pake pa Kishari´ah na pa sawa. Mfano wa hilo wanawasifia Ahl-ul-Bid´ah na kuwanyanyua angani na harakati zao ilihali wanawakaripia wale wenye kustahiki kusifiwa, kutapwa na kuombewa du´aa kwa sababu wanafanya vichinjo vikubwa na kuendelea kupita juu ya njia ya kheri na uongofu wa kiutume uliyonyooka.[1]
[1] Imaam Swaalih al-Fawzaan amesema:
“Kijitabu hichi kilichoko mbele yetu kimeandikwa na ndugu yetu Shaykh Zayd bin Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy. Kinatahadharisha mifumo hii, kinabainisha athari zake mbaya na kinahimiza kushikamana barabara na mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Allaah amjaze kheri na anufaishe kwa nasaha na maelekezo yake.” (Asbaab Istiqaamat-ish-Shabaab wa Bawaa´ith Inhiraafihim, uk. 7)
- Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Asbaab Istiqaamat-ish-Shabaab wa Bawaa´ith Inhiraafihim, uk. 20
- Imechapishwa: 25/03/2017
10- Kuyaweka mambo pasipokuwa mahali pake pa Kishari´ah na pa sawa. Mfano wa hilo wanawasifia Ahl-ul-Bid´ah na kuwanyanyua angani na harakati zao ilihali wanawakaripia wale wenye kustahiki kusifiwa, kutapwa na kuombewa du´aa kwa sababu wanafanya vichinjo vikubwa na kuendelea kupita juu ya njia ya kheri na uongofu wa kiutume uliyonyooka.[1]
[1] Imaam Swaalih al-Fawzaan amesema:
“Kijitabu hichi kilichoko mbele yetu kimeandikwa na ndugu yetu Shaykh Zayd bin Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy. Kinatahadharisha mifumo hii, kinabainisha athari zake mbaya na kinahimiza kushikamana barabara na mfumo wa Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Allaah amjaze kheri na anufaishe kwa nasaha na maelekezo yake.” (Asbaab Istiqaamat-ish-Shabaab wa Bawaa´ith Inhiraafihim, uk. 7)
Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Asbaab Istiqaamat-ish-Shabaab wa Bawaa´ith Inhiraafihim, uk. 20
Imechapishwa: 25/03/2017
https://firqatunnajia.com/10-wanawasifia-ahl-ul-bidah-na-kuwakaripia-ahl-us-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)