Swali 10: Wakati fulani mwanamke anaona athari ndogo ya damu au tone kidogo sana linaloenea katika masaa ya mchana. Mara anaiona wakati wa ada yake lakini haishuki na mara nyingine anaiona kipindi ambacho sio cha ada yake. Ni ipi hukumu ya funga yake kaitka hali zote mbili?
Jibu: Punde kidogo tumetangulia kujibu swali mfano wa hili. Lakini kuna nukta iliyobaki; akiona tone hili ni katika masiku ya ada yake na yeye anaizingatia kuwa ni hedhi kutokana na anavoitambua, basi tone hilo litakuwa ni hedhi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 13
- Imechapishwa: 19/06/2021
Swali 10: Wakati fulani mwanamke anaona athari ndogo ya damu au tone kidogo sana linaloenea katika masaa ya mchana. Mara anaiona wakati wa ada yake lakini haishuki na mara nyingine anaiona kipindi ambacho sio cha ada yake. Ni ipi hukumu ya funga yake kaitka hali zote mbili?
Jibu: Punde kidogo tumetangulia kujibu swali mfano wa hili. Lakini kuna nukta iliyobaki; akiona tone hili ni katika masiku ya ada yake na yeye anaizingatia kuwa ni hedhi kutokana na anavoitambua, basi tone hilo litakuwa ni hedhi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 13
Imechapishwa: 19/06/2021
https://firqatunnajia.com/10-tokne-kidogo-la-damu-katika-masiku-ya-ada/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)