d) Ni haramu kwa mwanamke kufanya chanjo [tattoo] kwenye mwili wake. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani mwenye kufanya chanjo na mwenye kufanywa chanjo. Mwanamke mwenye kufanya chanjo ni yule anayechoma mkono au uso wake kwa sindano kisha anatia pahali hapo palipochanjwa wanja au wino. Huyo mwanamke mwingine ni yule anayefanyiwa jambo hilo. Kitendo hichi ni haramu na ni dhambi kubwa. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani yule mwenye kufanya hivo au mwenye kufanyiwa. Mtu halaaniwi isipokuwa kwa kufanya moja katika madhambi makubwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tanbiyhaat ´alaa Ahkaam Takhtasswu bil-Mu´minaat, uk. 22
- Imechapishwa: 23/10/2019
d) Ni haramu kwa mwanamke kufanya chanjo [tattoo] kwenye mwili wake. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani mwenye kufanya chanjo na mwenye kufanywa chanjo. Mwanamke mwenye kufanya chanjo ni yule anayechoma mkono au uso wake kwa sindano kisha anatia pahali hapo palipochanjwa wanja au wino. Huyo mwanamke mwingine ni yule anayefanyiwa jambo hilo. Kitendo hichi ni haramu na ni dhambi kubwa. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemlaani yule mwenye kufanya hivo au mwenye kufanyiwa. Mtu halaaniwi isipokuwa kwa kufanya moja katika madhambi makubwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tanbiyhaat ´alaa Ahkaam Takhtasswu bil-Mu´minaat, uk. 22
Imechapishwa: 23/10/2019
https://firqatunnajia.com/08-hukumu-ya-kutia-chanjo-mwilini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)