183 – Amesimulia tena:
“Aliletewa maji ya kutawadha kipindi ambapo alikuwa ameketi chini. Akatawadha na akafanya vizuri wudhuu´ wake kisha akasema: “Nilimwona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akitawadha hali ya kuwa ameketi mkao huu. Akafanya vizuri wudhuu´ wake kisha akasema: ”Yule ambaye atatawadha mfano wa wudhuu´ wangu huu, kisha akaenda msikitini na akaswali Rak´ah mbili halafu akaketi chini, basi atasamehewa yale madhambi yake yaliyotangulia.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na wengine.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/190)
- Imechapishwa: 14/04/2021
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
183 – Amesimulia tena:
“Aliletewa maji ya kutawadha kipindi ambapo alikuwa ameketi chini. Akatawadha na akafanya vizuri wudhuu´ wake kisha akasema: “Nilimwona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akitawadha hali ya kuwa ameketi mkao huu. Akafanya vizuri wudhuu´ wake kisha akasema: ”Yule ambaye atatawadha mfano wa wudhuu´ wangu huu, kisha akaenda msikitini na akaswali Rak´ah mbili halafu akaketi chini, basi atasamehewa yale madhambi yake yaliyotangulia.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na wengine.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/190)
Imechapishwa: 14/04/2021
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/08-hadiyth-yule-ambaye-atatawadha-mfano-wa-wudhuu-wangu-huu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)