Kuhusu Ahl-us-Sunnah, baadhi ya alama zao ni:
1- Wanalingania katika kukitendea kazi Kitabu cha Allaah (Ta´ala).
2- Wanaifasiri Qur-aan kwa Sunnah na mapokezi ya Maswahabah na Taabi´uun.
3- Wanalingania katika Sunnah Swahiyh zilizopokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
4- Wanaitakidi kuwa Sunnah ndio yenye kuibainisha na yenye kuifasiri Qur-aan.
5- Wanaipenda Sunnah, Ahl-us-Sunnah na wale wenye kuifikisha. Wanaonelea kuwa Allaah ameihifadhi dini kupitia wao. Ni fadhila kutoka kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) wanawapenda wanachuoni wa Ahl-us-Sunnah. Abu Bakr bin ´Ayyaash aliulizwa ni nani Sunniy ambapo akajibu:
“Ambaye kunapotajwa matamanio hakasiriki kwa chochote katika hayo.”i
6- Wako kati na kati, kati ya upetukaji na uzembeaji.
7- Hawana msimamo wa ushabiki kwa yeyote katika maimamu wao mpaka wakaonelea kuwa wamekingwa na kukosea, pasi na kujali sawa wakiwa ni Maswahabah au wengineo.
8- Wanawachukia Ahl-ul-Bid´ah na wanamuabudu Allaah kwa kupambana nao na kuzibainisha Bid´ah zao ili watu watahadhari nao na watahadhari vilevile na Bid´ah zao.
9- Wanaitilia bidii ´Aqiydah na kuipa kipaumbele juu ya matendo mengine yote tofauti na wanavyofanya watu wa Bid´ah.
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Itmaam-ul-Minnah, uk. 79-80
- Imechapishwa: 10/02/2017
Kuhusu Ahl-us-Sunnah, baadhi ya alama zao ni:
1- Wanalingania katika kukitendea kazi Kitabu cha Allaah (Ta´ala).
2- Wanaifasiri Qur-aan kwa Sunnah na mapokezi ya Maswahabah na Taabi´uun.
3- Wanalingania katika Sunnah Swahiyh zilizopokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
4- Wanaitakidi kuwa Sunnah ndio yenye kuibainisha na yenye kuifasiri Qur-aan.
5- Wanaipenda Sunnah, Ahl-us-Sunnah na wale wenye kuifikisha. Wanaonelea kuwa Allaah ameihifadhi dini kupitia wao. Ni fadhila kutoka kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) wanawapenda wanachuoni wa Ahl-us-Sunnah. Abu Bakr bin ´Ayyaash aliulizwa ni nani Sunniy ambapo akajibu:
“Ambaye kunapotajwa matamanio hakasiriki kwa chochote katika hayo.”i
6- Wako kati na kati, kati ya upetukaji na uzembeaji.
7- Hawana msimamo wa ushabiki kwa yeyote katika maimamu wao mpaka wakaonelea kuwa wamekingwa na kukosea, pasi na kujali sawa wakiwa ni Maswahabah au wengineo.
8- Wanawachukia Ahl-ul-Bid´ah na wanamuabudu Allaah kwa kupambana nao na kuzibainisha Bid´ah zao ili watu watahadhari nao na watahadhari vilevile na Bid´ah zao.
9- Wanaitilia bidii ´Aqiydah na kuipa kipaumbele juu ya matendo mengine yote tofauti na wanavyofanya watu wa Bid´ah.
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Itmaam-ul-Minnah, uk. 79-80
Imechapishwa: 10/02/2017
https://firqatunnajia.com/07-baadhi-ya-alama-za-wazi-za-ahl-us-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)